ANGALAU gazeti moja lililofungiwa na serikali – Mwananchi – limemaliza kutumikia adhabu liliyotwishwa. Nalo gazeti la Mtanzania linatarajia kumaliza kifungo chake 26 Desemba 2013. Lakini MwanaHALISI, gazeti la wananchi, limeamriwa na wenye nguvu kufungiwa kwa muda usiojulikana; tendo ambalo limelenga kuua wafanyakazi, watendaji wa kampuni, wasambazaji na watu wengine wanaotegemea gazeti hili kwa ujira na ...
Trending Articles
More Pages to Explore .....